Error loading page.
Try refreshing the page. If that doesn't work, there may be a network issue, and you can use our self test page to see what's preventing the page from loading.
Learn more about possible network issues or contact support for more help.

Zambada na Hadithi zingine

ebook
1 of 1 copy available
1 of 1 copy available

Kuna wakati maisha yanaonekana kama fumbo lisilo na majibu sahihi,katika nyakati kama hizo unahitaji ujasiri ili uweze kuendelea kusonga mbele.

Waswahili hawakukosea waliposema kuwa maisha ni safari,hata hivyo jambo moja la uhakika binadamu sio dereva wa safari yake bali ni abiria asiyejua mahali aendako.

Kitabu hiki kina jumla ya simulizi fupi kumi na nne (14),kimeandaliwa kwa ajili ya kuelimisha mambo mbalimbali kuhusu maisha,lakini pia kuburudisha na kukuhamasisha ili uweze kuendelea ulipoishia kwa nguvu zote.

.

Nakukaribisha kwenye ulimwengu wa mawazo yangu

Kuna wakati maisha yanaonekana kama fumbo lisilo na majibu sahihi,katika nyakati kama hizo unahitaji ujasiri ili uweze kuendelea kusonga mbele.

Waswahili hawakukosea waliposema kuwa maisha ni safari,hata hivyo jambo moja la uhakika binadamu sio dereva wa safari yake bali ni abiria asiyejua mahali aendako.

Kitabu hiki kina jumla ya simulizi fupi kumi na nne (14),kimeandaliwa kwa ajili ya kuelimisha mambo mbalimbali kuhusu maisha,lakini pia kuburudisha na kukuhamasisha ili uweze kuendelea ulipoishia kwa nguvu zote.

.

Nakukaribisha kwenye ulimwengu wa mawazo yangu

Formats

  • OverDrive Read
  • EPUB ebook

Languages

  • Swahili

Loading